Breaking


Jumanne, 7 Oktoba 2025

𝗗𝗞𝗧. 𝗠𝗜𝗚𝗜𝗥𝗢 𝗔𝗣𝗢𝗞𝗘𝗟𝗘𝗪𝗔 𝗕𝗨𝗛𝗢𝗡𝗚𝗪𝗔 𝗔𝗦𝗘𝗠𝗔 𝗨𝗝𝗜𝗢 𝗪𝗔 𝗠𝗚𝗢𝗠𝗕𝗘𝗔 𝗨𝗥𝗔𝗜𝗦 𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗪𝗔𝗞𝗔𝗥𝗜𝗕𝗜𝗔

Unaambiwa ukimuona Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amewasili basi ujue ujio wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya CCM, Rais Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 unakaribia kwakuwa Balozi Dkt. Migiro amekuwa sehemu njema ya kumsafishia njia mgombea wetu pamoja na kutanguliza salamu za upendo na ujio wake.







Dkt. Migiro amepokelewa na maelfu ya wananchi wa Buhongwa wilayani Nyamagana mkoani Mwanza tayari kwa muendelezo wa kampeni za Urais kupitia CCM ndani ya Mwanza leo tarehe 7 Oktoba 2025.


#SafariYaCCM

#KaziNaUtuTunasongaMbele

#Oktoba29Tunatiki🇹🇿✅

Hakuna maoni: