Breaking

Alhamisi, 16 Oktoba 2025

𝗗𝗞𝗧. 𝗠𝗜𝗚𝗜𝗥𝗢 𝗔𝗧𝗜𝗡𝗚𝗔 𝗞𝗔𝗜𝗧𝗔𝗕𝗔, 𝗞𝗔𝗭𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗠𝗡𝗔𝗗𝗜 𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗡𝗔𝗜𝗘𝗡𝗗𝗘𝗟𝗘𝗭𝗔 𝗩𝗘𝗠𝗔

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amewasili katika uwanja wa Kaitaba na kupokelewa na Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi wa Bukoba Mjini mkoani Kagera, leo tarehe 16 Oktoba 2025.


Dkt. Migiro anaendeleza vema kazi ya kumnadi Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Rais Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 huku akiwasisitizia Watanzania kuendelea kukiamini Chama Cha Mapinduzi na kuchagua kwa mafiga matatu kwa maana ya Rais, Wabunge na Madiwani.


#SafariYaCCM

#KaziNaUtuTunasongaMbele#Oktoba29TunatikiSamia✅

Hakuna maoni: