Breaking

Jumapili, 26 Oktoba 2025

TETESI ZA SOKA JUMAPILI: MAN UTD YAMFUKUZIA BELLINGHAM

 

Manchester United wanataka kufanya uhamisho wa mkopo wa kiungo Muingereza mwenye umri wa miaka 20 wa Borussia Dortmund, Jobe Bellingham, mwezi Januari. (Express)

West Ham na Sevilla wanaangalia uwezekano wa kumsajili mshambuliaji wa Manchester United na timu ya taifa ya Uholanzi, Joshua Zirkzee, mwenye umri wa miaka 24, ambaye hana nafasi kikosini. (Mirror)

Manchester City, Manchester United na Tottenham zinaonyesha nia ya kumsajili kiungo wa Sporting na timu ya taifa ya Denmark, Morten Hjulmand, mwenye umri wa miaka 26. (Record)


#ChanzoBbcswahili

Hakuna maoni: