Breaking

Jumatano, 6 Agosti 2025

TANZANIA YAIFUNGA MAURITANIA 1–0 NA KUONGOZA KUNDI B CHAN 2024


Tanzania Yapata ushindi katika mchezo wa pili wa michuano ya CHAN2024 baada ya kuifunga Mauritania kwa goli 1 0 katika mchezo uliopigwa Benjamini Mkapa

Tanzania sasa Imekusanya alama 6 katika kundi B na wanaongoza kundi hilo wakifuatiwa na Burkina Faso aliyepata ushindi dhidi ya Jamhuri ya  Afrika ya Kati mchezo uliochezwa Mapema Leo

Mchezo mwingine wa Tanzania Ni tarehe 9 agosti wakiikaribisha Madagasca.


#LINAKUJANYUMBANI


 

Hakuna maoni: