Klabu ya Barcelona inamtaka nahodha wa Uingereza Harry Kane, 32, ambaye ameifungia Bayern Munich mara 95 katika mechi 102 za ligi. Kane anaonekana kama mbadala wa mshambuliaji wa Poland na Barcelon Robert Lewandowski. (El Nacional - kwa Kihispania)
Mkufunzi wa Manchester United Ruben Amorim atapewa fedha za kumsajili kiungo i wa Nottingham Forest na Uingereza Elliot Anderson, 22, mwezi Januari. (Team talk)
Klabu za Chelsea, Manchester United na Newcastle United zina nia ya kumsajili kumnunua kiungo wa kati wa Real Madrid na Ufaransa Eduardo Camavinga, 22, ambaye thamani yake ni euro 80m (£69.7m). (CaughtOffside)
#Bbcswahili

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni