Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT) Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC), tarehe 10 Oktoba 2025, akiwa katika Kata ya Kabungu, Wilaya ya Tanganyika, Mkoa wa Katavi, ametoa wito kwa wanachama wa CCM na wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura ya Ndiyo, licha ya uwepo kwa wagombea wa CCM waliopita bila kupingwa.
Jumamosi, 11 Oktoba 2025
HAKUNA KUPITA BILA KUPINGWA,TWENDENI TUKAPIGE KURA ZA NDIYO- CHATANDA
Tags
# HABARI
About Lilian Madelemo
Lilian Madelemo is a seasoned Tanzanian journalist, radio presenter, and digital media specialist with a vibrant career spanning since 2011. Known for her insightful storytelling and dynamic presence, she has built a strong reputation across both radio and online platforms. She is also the founder of the Madelemo News Blog, where she continues to inform, engage, and inspire through multimedia journalism.
HABARI
Lebo:
HABARI
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni