Barcelona wanaongoza mbio za kumsaka mshambuliaji wa Marseille Muingereza Mason Greenwood, ingawa Tottenham na West Ham pia wanamtaka mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24. (TeamTalks)
Manchester United na Newcastle wanamfuatilia kwa karibu kiungo wa kati wa Uingereza Elliot Anderson, huku Nottingham Forest wakidai ada ya kati ya £100m na £120m kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22. (Florian Plettenberg).
Jobe Bellingham hana nia ya kujiunga na Manchester United, ambayo imekuwa ikifikiria uwezekano wa kumnunua kiungo huyo wa kati wa Borussia Dortmund Muingereza mwenye umri wa miaka 20. {Mirror)
#ChanzoBbcswahili

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni