Breaking

Jumatatu, 8 Desemba 2025

VIWANGO VYA KUBADILISHA FEDHA LEO JUMATATU DESEMBA 08. 2025

 

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa taarifa  kuhusu viwango vya fedha za kigeni pamoja na bei ya dhahabu kwa tarehe 08 Desemba 2025. Taarifa hii inalenga kuwapa wananchi na wadau wa masoko ya fedha mwelekeo wa thamani ya sarafu na mwenendo wa soko la dhahabu nchini.


Hakuna maoni: