Breaking


Jumanne, 12 Agosti 2025

DIAMOND PLATNUMZ ATOA ONYO KALI.

 



Mwanamuziki Diamond Platnumz Ametoa onyo  kali kuwa hajateua mtu yeyote kuwa msemaji wa Career yake ama maisha Yale binafsi.

Ametoa  ujumbe huo kupitia insta stori yake  kwa kusema kuwa” lolote litakalo zungumzwa na yeyote kuhusu mimi  Iwe na mtu wa karibu yangu ama sio wa karibu yangu anaomba lipuuzwe lisiaminiwe, Nitakapotaka kutoa taarifa ama ujumbe wowote kuhusu maisha yangu nitaongea mwenyewe “

Hakuna maoni: