Liverpool wamekubaliana ada ya £125m na Newcastle kumsajili Alexander Isak. The Reds watawasilisha ada ya rekodi ya Uingereza itakayofikia £130m. (Telegraph)
Aston Villa wamefanya mazungumzo na Manchester United kuhusu usajili wa winga wa England Jadon Sancho, 25. (Athletic)
Aston Villa pia wamewasilisha nia ya kumsajili kipa wa Kibelgiji wa Royal Antwerp, Senne Lammens, 23. (Fabrizio Romano)
Bayern Munich wameondoa ofa yao kwa mshambuliaji wa Chelsea na Senegal Nicolas Jackson, 24. (Florian Plettenberg)
Tottenham wamewasiliana na Atalanta kuhusu usajili wa winga wa Nigeria Ademola Lookman, 27, lakini wanakabiliwa na ushindani kutoka Bayern Munich. (Sky Sports Germany)
#ChanzoBbcswahili

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni