Breaking

Jumatano, 1 Oktoba 2025

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMATANO: TOTTENHAM HOTSPUR SASA YAMTAKA BEKI WA CRYSTAL PALACE MARC GUEHI


 Tottenham ni miongoni mwa timu zinazowania saini ya beki wa Crystal Palace na Uingereza Marc Guehi, 25. (CaughtOffside)

Meneja wa Tottenham Thomas Frank anataka kumleta mlinzi wa Jamhuri ya Ireland Nathan Collins, 24, kutoka Brentford. (TBR Football)

Kiungo wa kati wa Tottenham na Uruguay Rodrigo Bentancur, 27, anakaribia kukubaliana kandarasi mpya na klabu hiyo ya London. (Football.London)

#ChanzoBbcswahili

Hakuna maoni: