Tottenham ni miongoni mwa timu zinazowania saini ya beki wa Crystal Palace na Uingereza Marc Guehi, 25. (CaughtOffside)
Meneja wa Tottenham Thomas Frank anataka kumleta mlinzi wa Jamhuri ya Ireland Nathan Collins, 24, kutoka Brentford. (TBR Football)
Kiungo wa kati wa Tottenham na Uruguay Rodrigo Bentancur, 27, anakaribia kukubaliana kandarasi mpya na klabu hiyo ya London. (Football.London)

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni