Everton ina nia ya kumsajili kiungo wa Uingereza Jack Grealish, 29, kwa mkopo lakini inakabiliwa na ushindani kutoka kwa West Ham na Napoli. (ipaper - usajili unahitajika)
Alexander Isak, 25, ameidhinisha masharti ya kibinafsi na Liverpool kwa kandarasi ya miaka mitano ikiwa ada itakubaliwa kumsaini mshambuliaji huyo wa Newcastle na Uswidi. (Sky Sports Uswisi - kwa Kifaransa)
Brentford haiko tayari kumtoa mshambuliaji wa DR Congo Yoane Wissa, 28, kwa Newcastle kwa bei yoyote isipokuwa wasajili kwanza mbadala wake. (ipaper - usajili unahitajika)
#Chanzobbcswahili

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni