Galatasaray wametoa ofa ya euro 3m (£2.6m) kwa mlinda mlango wa Manchester City na Brazil Ederson, 31. (L'Equipe - in French)
Manchester City wanafikiria kumnunua mlinda mlango Muingereza James Trafford, 22, arejee klabuni kutoka Burnley , lakini iwapo tu mmoja wa makipa wao wawili wakuu ataondoka. (Fabrizio Romano)
Kiungo wa kati wa Uholanzi na RB Leipzig Xavi Simons, 22, anapendelea kuhamia Ligi ya Primia, huku Chelsea na Arsenal wakifuatilia hali yake. (Bild -in Germany)

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni