Breaking


Jumanne, 5 Agosti 2025

BI. KIBONDE AMKABIDHI BW. BOAZ MACHAPISHO YA OSIFI YA MAKAMU WA RAIS NANENANE

 

Mkuu wa Kitengo Serikalini Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi. Sarah Kibonde akimkabidhi Afisa Habari wa Kampuni ya Uendelezaji wa Jotoardhi Tanzania, Bw. Boaz Mazigo nyaraka za machapisho mbalimbali yanayozalishwa na Ofisi hiyo wakati alipotembelea banda la ofisi hiyo leo Agosti, 2025 katika maonesho ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni.

Hakuna maoni: