Breaking


Jumatano, 13 Agosti 2025

FID Q AACHIA ALBUM YA KITAA REJEX

 

Ikiwa leo muziki wa Hip Hop unatimiza miaka 52 ,Mwanamuziki wa hip hop Tanzania @therealfidq ameachia album ya KITAA REJEX ikiwa na nyimbo 15 huku akisherehekea siku yake ya kuzaliwa.

 #queenofentertainment✍🏾

Hakuna maoni: