Breaking


Jumamosi, 30 Agosti 2025

RAIS SAMIA ALIVYOPIGA PICHA YA 'SELFIE' NA WANANCHI WA KIBAIGWA



Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga picha ya 'Selfie' na maelfu ya Wananchi wa Kibaigwa Mkoani Dodoma wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu leo August 30,2025.



Hakuna maoni: