Akizungumza katika Uzinduzi wa Harambee hiyo usiku huu katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Jijini Dar es salaam, Rais Dokta Samia amewaomba wana CCM wachangie kwa maendeleo ya CCM na pia CCM iweze kwenda kwa wananchi kunadi Sera zake.
Awali Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dokta Emmanuel Nchimbi, amesema msingi wa Harambee hiyo ni maombi ya wana CCM ambao wanataka kuchangia maendeleo ya chama Chao.Katika Harambee hiyo, CCM imedhamiria kukusanya Shilingi Bilioni mia 1.



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni