Breaking


Jumatatu, 29 Septemba 2025

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMATATU: MAN UTD

 

Manchester United wana nia ya kumsajili mshambuliaji wa Juventus, raia wa Serbia, Dusan Vlahovic, 25, katika dirisha la uhamisho la Januari. (Gazzeta)

Kiungo wa kati wa Manchester City, raia wa Ureno, Bernardo Silva, 31, anafikiria kuhamia ligi ya Saudi Arabia mkataba wake utakapokamilika msimu ujao. (TalkSport)

Kiungo wa kati wa Ureno Joao Neves, 21, analengwa na Manchester City, lakini timu yake ya Paris St-Germain wanatarajiwa kukataa kumuuza. (Football Insider)

#ChanzoBbcswahili

Hakuna maoni: