West Ham wanaweza kumnunua Nuno Espirito Santo iwapo watamtimua Graham Potter, Arsenal miongoni mwa timu zinazomtaka Luiz Gustavo Benedetti na Manchester United inaonyesha nia ya kumnunua Elliot Anderson.
West Ham wanafikiria kumnunua Nuno Espirito Santo iwapo watamtimua meneja Graham Potter. (Alan Nixon)
Arsenal, Barcelona na Napoli wanavutiwa na beki wa kati wa Palmeiras mwenye umri wa miaka 19 Mbrazil Luiz Gustavo Benedetti. (Mundo Deportivo – In Spanish)
#ChanzoBbcswahili

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni