Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT) Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) ambaye pia ni Mratibu wa Kampeni za CCM Jijini DSM, tarehe 16 Oktoba, 2025, akutana na Maafisa Usafirishaji (Boda Boda) wa Kata ya Kinyerezi Jimbo la Segerea, Wilaya ya Ilala jijiji DSM, na kuwataka kutofuata maudhui machafu yanayorushwa kwenye mitandao ya kijamii kutoka kwa baadhi ya wanasiasa wa upinzani ambayo hawana nia njema na Taifa la Tanzania, Badala yake wajiamini na kujitokeza kwa wingi kupiga kura ya ndiyo kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kumchagua Mgombea Ubunge wa Jimbo la Segerea Bonnah Kamoli, pamoja na Madiwani wote wa Kata ndani ya Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
Ijumaa, 17 Oktoba 2025
BODA BODA TUKO PAMOJA NA DKT. SAMIA NA OKTOBA 29, TUNATIKI KURA YA NDIYO.
Tags
# HABARI
About Madelemo News
Independent Journalism. In-Depth Analysis. Trusted Reporting. Madelemo News is your go-to digital media platform for comprehensive news, insightful analysis, and stories you can trust. Stay informed, stay ahead.[Read Analysis] Contact Us madelemonews@gmail.com +255 714 195 999
HABARI
Labels:
HABARI
Independent Journalism. In-Depth Analysis. Trusted Reporting. Madelemo News is your go-to digital media platform for comprehensive news, insightful analysis, and stories you can trust. Stay informed, stay ahead. [Read Analysis] Contact Us @madelemonews@gmail.com +255 714 195 999
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni