Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameungana na Viongozi, Waumini pamoja na Wananchi mbalimbali katika Ibada ya kumuombea Baba wa Taifa Hayati Mwalimu. Julius Kambarage Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Francisko wa Asizi, Mwanjelwa Mkoani Mbeya leo tarehe 14 Oktoba 2025. Ibada hiyo imeongozwa na Akofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Mbeya Mhashamu Gervas Nyaisonga.
Jumanne, 14 Oktoba 2025
Home
/
HABARI
/
DKT. MPANGO AUNGANA NA WANANCHI KATIKA IBADA YA KUMUOMBEA BABA WA TAIFA NYERERE MKOANI MBEYA
DKT. MPANGO AUNGANA NA WANANCHI KATIKA IBADA YA KUMUOMBEA BABA WA TAIFA NYERERE MKOANI MBEYA
Tags
# HABARI
About Lilian Madelemo
Lilian Madelemo is a seasoned Tanzanian journalist, radio presenter, and digital media specialist with a vibrant career spanning since 2011. Known for her insightful storytelling and dynamic presence, she has built a strong reputation across both radio and online platforms. She is also the founder of the Madelemo News Blog, where she continues to inform, engage, and inspire through multimedia journalism.
HABARI
Lebo:
HABARI
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)


Hakuna maoni:
Chapisha Maoni