Everton wanachunguza kwa makini uwezekano wa kumtia mkononi kiungo wa Manchester City Kalvin Phillips ,29, mwezi Januari. (Football insider)
Liverpool ni miongoni mwa vilabu kadhaa vya ligi kuu ya premier vilivyo na ari ya kumsajili kiungo wa kati wa Crystal Palace Adam Wharton ,21, kutoka Crystal Palace. (Mail )

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni