Mshambuliaji wa Manchester United Josua Zirkzee ,24,anatafuta upenyo wa kuondoka mwezi Januari kama njia muhimu ya kujumuishwa katika kikosi cha taifa cha Uholanzi kwenye kombe la dunia mwakani. (Mail Plus)
West Ham wana azma ya kumsajili Zirkzee huku meneja Nuno Espirito Santo akipanga kuinoa safu yake ya mashambulizi. (Football Insider)
Mkufunzi wa England Kobbie Mainoo,20, nae pia anataka kuondoka Manchester United na kuelekea Napoli lakini itabidi asubiri hadi Januari.
Harry Maguire ,32, ana hamu ya kuendelea kusalia Manchester United lakini itamgharimu kwani atalazimika kupunguziwa mshahara iwapo atasalia hapo hadi mwisho wa msimu. (Talksport)
#ChanzoBbcswahili

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni