Breaking

Jumanne, 4 Novemba 2025

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMANNE: MAINOO ANAKARIBIA KUONDOKA MAN UTD

 

Kiungo wa kati wa England Kobbie Mainoo anakaribia kuondoka Manchester United kuelekea Napoli huku juhudi za kufikia mkataba wa bila malipo kwa mchezaji huyo wa miaka 20 zikiongezwa. (Teamtalk)

Barcelona itamsijili Marcus Rashford kutoka Manchester United kwa mkataba wakudumu endapo mchezaji huyo wa kimataifa wa England atakubali pendekezo lao la mshahara. (Talksport)

Wakala Niclas Fullkrug anasema ''heri'' mshambuliaji huyo wa Ujerumani mwenye umri wa miaka 32 aondoke klabu ya West Ham. (TOMorrow Business Podcast via Athletic)

#Bbcswahili

Hakuna maoni: