Real Madrid imeamua kumuuza mshambuliaji wa Brazil Vinicius Jr, 25, mwenye umri wa miaka 25 msimu ujao kufuatia mwenendo wake alipotolewa uwanjani wakati wa mechi yao na Barcelona. (Bild - kwa Kijerumani)
Mshambuliaji wa Brazil Rodrygo anataka kuondoka Real Madrid mwezi Januari, huku Arsenal na Tottenham zikimuwania mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24. (Fichajes - kwa Kihispania)
Manchester United iko tayari kumwachia winga wa Uingereza Jadon Sancho, 25, ambaye anachezea klabu ya Aston Villa kwa mkopo, kuondoka kwa uhamisho wa bure msimu ujao. (Sportsport)
#ChanzoBbcswahili

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni