Breaking

Ijumaa, 28 Novemba 2025

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO


Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania, TMA, imesema kuwa maeneo machache nchini yanatarajiwa kuwa na mawingu kiasi, vipindi vya jua, na mvua katika maeneo ,

  • Kagera: Mvua kidogo, upepo mdogo.
  • Mtwara: Mvua nyepesi sehemu mbalimbali.
  • Ruvuma na Lindi: Vipindi vya mvua na jua.
  • Unguja na Pemba: Mawingu kidogo, jua.
  • Dar es Salaam na Tanga: Mawingu kiasi, jua.
  • Kigoma, Katavi na Tabora: Jua na mawingu.
  • Morogoro, Singida na Dodoma: Mawingu kidogo, jua.
  • Arusha, Manyara na Kilimanjaro: Vipindi vya jua, mawingu kidogo.
  • Pwani (ikijumuisha Mafia): Jua na mawingu kidogo.
  • Rukwa, Iringa, Njombe, Songwe na Mbeya: Mvua nyepesi, jua.
  • Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Mara: Mawingu kidogo, jua.


 

Hakuna maoni: