Breaking

Jumatano, 3 Desemba 2025

ERLING HAALAND AFIKA REKODI MPYA EPL KUFIKIA MAGOLI 100 KWA KASI YA AJABU

 

Erling Haaland ameendelea kuandika historia katika Ligi Kuu England baada ya kufikia mafanikio makubwa kwa kasi ya ajabu.


⚡ Haaland ndiye mchezaji aliyefanikiwa kufikisha rekodi kwa haraka zaidi kwenye EPL kufikia:


▪️ Magoli 20 — mechi 14 pekee

▪️ Magoli 30 — mechi 27

▪️ Magoli 40 — mechi 39

▪️ Magoli 50 — mechi 48


Na sasa, ameweka rekodi mpya kwa kuwa mchezaji wa kasi zaidi kufikisha magoli 100 katika historia ya Premier League. ⚽🔥


Anaendelea kuthibitisha ubora wake kama mmoja wa washambuliaji hatari zaidi duniani.

Hakuna maoni: