Viongozi wa Wizara na Taasisi zake wakiwa tayari kushuhudia mapokezi ya Tuzo za Utalii Duniani, tayari kukabidhiwa kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Ashatu Kijaji (Mb).
Ikumbukwe kuwa siku chache zilizopita Tanzania ilishinda jumla ya Tuzo tano (5) katika sherehe za kilele cha utoaji wa Tuzo za Utalii Duniani zilizofanyika nchini Bahrain.
#DestinationTanzania



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni