Breaking

Jumatatu, 8 Desemba 2025

MEZA YA MAGAZETI LEO – JUMATATU, DESEMBA 08, 2025

 



Karibu kwenye Meza ya Magazeti ya leo Desemba 08, 2025, tukikuletea muhtasari wa habari kubwa zilizobeba uzito kwenye kurasa za mbele za magazeti ya Tanzania.


MWANASPOTI

Habari Kuu


  • Pande Mbili: Kocha Mpya Simba
    Simba SC yapewa kocha mpya huku pande mbili zikielezwa kuhusika kwenye maamuzi hayo.

Habari Nyingine


  • Bingwa World Cup Huyu Hapa!
  • Yanga Hii… Ngoja Tuone Itakuwaje!
  • Matola aulizwa maswali mazito, Mnyama akipasuka kwa Azam FC (0–2).
  • Azam iachane na vya bure.
  • Lebo mpya na maumivu.


MWANANCHI

Habari Kuu


  • Mufti, Dk Malasusa walia na udini, chuki
    Viongozi wa dini wakemea matamko yanayoweza kuchochea mgawanyiko na chuki zisizo na tija kwa Taifa.


Habari Nyingine


  • Maagizo mapya kukabiliana na kero ya foleni.
  • Sherehe zinavyowapewa kipaumbele kuliko ndoa.
  • Cynthia Yalimba: Msomi aliyevunja rekodi ya muongo mmoja UDSM.
  • Msigwa: Tanzania inajitosheleza bila msaada.





















Hakuna maoni: