Breaking


Jumapili, 21 Desemba 2025

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri wa hali ya hewa kwa kipindi cha saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku wa leo, tarehe 21 Desemba 2025, ukionesha uwepo wa mawingu, mvua na ngurumo katika mikoa mbalimbali nchini, huku maeneo mengine yakitarajiwa kupata vipindi vya jua.


Hakuna maoni: