Breaking


Jumatatu, 22 Desemba 2025

🌦️ UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO


 Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini imetoa angalizo kwa wananchi kuhusu uwepo wa vipindi vifupi vya mvua kubwa vinavyotarajiwa kujitokeza katika maeneo machache ya Mikoa ya Kigoma, Tabora na Katavi ndani ya saa 24 zijazo. Wananchi wanashauriwa kuchukua tahadhari stahiki, hasa katika maeneo yenye miinuko, mabonde na karibu na vyanzo vya maji.


Hakuna maoni: