Breaking


Jumatano, 31 Desemba 2025

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO

 

Mamlaka ya hali ya hewa imetoa utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo kwa mikoa mbalimbali ya Tanzania, kuanzia saa 3:00 usiku wa leo. Utabiri huu unalenga kuwawezesha wananchi kupanga shughuli zao za kila siku kwa kuzingatia mabadiliko ya hali ya hewa yanayotarajiwa.


Hakuna maoni: