![]() |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan alipoongoza Watanzania kuaga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani, Marehemu William Lukuvi katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es salaam leo Machi 28, 2026.





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni