Breaking


Jumanne, 3 Machi 2026

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MATANKI YA KUPOKEA MAFUTA




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuweka jiwe la msingi Mradi wa Ujenzi wa Matanki ya kupokea Mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam, Kigamboni, Jijini Dar es Salaam, tarehe 03 Machi, 2026.

Hakuna maoni: