Breaking

Jumatatu, 14 Julai 2025

DOKTA SAMIA NI KIELELEZO CHA AMANI - DC MPOGOLO.



Rais Samia Suluhu Hassan, ni kielelezo cha Umoja, Amani na Mshikamano nchini Tanzania bila  ubaguzi.


Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mkoani Dar es salaam  Edward Mpogolo, wakati anazungumza na waumini wa kiislam kwenye kongamano na kuukaribisha mwaka mpya wa kiislam.



Hakuna maoni: