Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama leo Julai 10, 2025 akiambatana na Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe pamoja na timu kutoka Wizara ya Afya wametembelea mradi wa ujenzi wa jengo la ‘Radio Therapy’ ambalo litatoa huduma kwa wagonjwa wa Saratani iliyopo katika Hospotali ya Benjamini Mkapa (BMH) Mkoani Dodoma.
Alhamisi, 10 Julai 2025
WAZIRI MHAGAMA ATEMBELEA JENGO LA RADIO THERAPY
About Lilian Madelemo
Lilian Madelemo is a seasoned Tanzanian journalist, radio presenter, and digital media specialist with a vibrant career spanning since 2011. Known for her insightful storytelling and dynamic presence, she has built a strong reputation across both radio and online platforms. She is also the founder of the Madelemo News Blog, where she continues to inform, engage, and inspire through multimedia journalism.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni