Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Julai 21, 2025 amewasili nchini Belarus kuanza ziara ya kikazi nchini humo. Kwenye Uwanja wa Ndege wa Kinsk alipokelewa na Naibu Waziri Mkuu wa Beralus, Viktor Karankevich. Katika ziara hiyo ameambatana na Balozi wa Tanzania Urusi na Belarusi, Frederick Ibrahim Kibuta , Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Kazi , Uchumi na Uwekezaji Zanzibar, Shariff Ali Shariff na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Cosato Chumi.
Jumanne, 22 Julai 2025
WAZIRI MKUU AWASILI BERALUS KWA ZIARA YA KIKAZI
Tags
# HABARI
About Lilian Madelemo
Lilian Madelemo is a seasoned Tanzanian journalist, radio presenter, and digital media specialist with a vibrant career spanning since 2011. Known for her insightful storytelling and dynamic presence, she has built a strong reputation across both radio and online platforms. She is also the founder of the Madelemo News Blog, where she continues to inform, engage, and inspire through multimedia journalism.
HABARI
Lebo:
HABARI
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)


Hakuna maoni:
Chapisha Maoni