Breaking


Jumamosi, 2 Agosti 2025

KATIBU TAWALA SINGIDA DKT. FATUMA MGANGA AKIPATA ELIMU YA MATUMIZI YA CHANJO YA CBPP KWA NG’OMBE NANENANE DODOMA


 Katibu Tawala Mkoa wa Singida, Dkt. Fatuma R. Mganga akipata elimu kuhusiana na matumizi sahihi ya chanjo ya Homa ya Mapafu kwa Ng’ombe (CBPP) inayozalishwa na Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) kutoka Daktari wa Mifugo Mtafiti wa TVLA Dkt. Isaac Mengele (PhD) alipofanya ziara ya kutembelea banda la TVLA lililopo ndani ya banda jumuishi la Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo (Nanenane) yanayofanyika Nzuguni jijini Dodoma Agosti 2, 2025.

Hakuna maoni: