Breaking


Jumapili, 31 Agosti 2025

INEC YAJADILI RUFAA ZA UTEUZI WA WAGOMBEA UBUNGE NA UDIWANI

 









Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi(INEC), leo tarehe 31 Agosti, 2025 imekaa na kujadili rufaa kuhusu uteuzi wa wagombea Ubunge katika Jamhuri ya Muungano na Udiwani kwa Tanzania Bara zilizowasilishwa Tume kwa ajili ya uamuzi.

Hakuna maoni: