Mashabiki wa Yanga wamejitokeza Kwa Wingi Katika Kilele cha Wiki ya Mwananchi.
Leo yanga Wanatarajia Kutambulisha Wachezaji wao Wote waliowasajili kwa ajili ya Msimu wa Mashindano wa 2025/26
Kilele cha Wiki ya Mwananchi Kitamalizwa kwa Mchezo wa Kirafiki wa akimataifa Dhidi ya Bandari Fc Kutoka Kenya.
#AnaseliMacha✍🏾






Hakuna maoni:
Chapisha Maoni