Manchester United waliamua kutomchukua Martinez kwa sababu ya umri wake na mshahara unaokaribia pauni 200,000 kwa wiki. (Mirror)
Martinez hakuwa na hamu ya kujiunga na Galatasaray licha ya ripoti kutoka Uturuki kuhusu ofa ya thamani ya pauni milioni 21.6. (Daily Mail)
Liverpool walikataa kumruhusu Joe Gomez, 28, kujiunga na AC Milan baada ya mpango wao wa kumsajili beki wa England Marc Guehi, 25, kutoka Crystal Palace kuvunjika. (Fabrizio Romano)
Video ya kuaga ya Guehi kutoka Crystal Palace ilivuja mitandaoni lakini bado ameridhika kumalizia mwaka mmoja wa mkataba wake Selhurst Park na kisha kuondoka bure msimu ujao wa kiangazi. (Talksport)
#ChanzoBbcswahili

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni