Breaking

Jumanne, 21 Oktoba 2025

CHAGUA CCM: CHAGUA DKT SAMIA: CHAGUA ENG KUNDO


Mimi Eng. Kundo Andrea Mathew, Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Bariadi Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) 🟢💛

*Nakuomba unipe kura yako ifikapo Oktoba 29, ili kwa pamoja tuipeleke Bariadi Mjini kwenye hatua mpya ya maendeleo!*

*Kazi na Utu, Tunasonga Mbele* đź’Ş

Pamoja, tutajenga Bariadi yenye neema, kasi na matokeo chanya kwa kila mwananchi.

🟢 Kura yako kwa CCM ni kura ya maendeleo!

đź—ł️ Chagua Eng. Kundo Andrea Mathew – Mbunge wako wa kazi na matokeo.

#KaziIendelee #BariadiKwanza #CCM #UshindiKwaKishindo đź’›

Hakuna maoni: