Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Katavi, Mhandisi Andrew Mwalugaja, ameendelea kuwa mstari wa mbele katika kuongoza sekta ya madini kwa uwajibikaji, weledi na ubunifu.
Uongozi wake umeimarisha ushirikiano kati ya Serikali, wawekezaji na wachimbaji, hatua iliyobadilisha taswira ya Katavi na kuufanya mkoa huo kuwa kitovu kipya kinachoongoza kwa fursa za uwekezaji wa madini nchini.



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni