Breaking

Jumatano, 3 Desemba 2025

MEZA YA MAGAZETI LEO DESEMBA 03, 2025



Karibu kwenye Meza ya Magazeti, ambapo tunakuletea kile kilichoandikwa kwenye kurasa za mbele za magazeti mbalimbali nchini Tanzania leo Jumatano, Desemba 03, 2025.


ZANZIBAR LEO


Kichwa Kikuu:

DK. SAMIA: WATANZANIA TUSITUMIKE KUIHUJUMU NCHI


  • Rais Samia atoa rai kwa wananchi kuongeza umakini na kutokubali kutumiwa kuhatarisha amani ya taifa.
  • Dk. Mwinyi aweka msisitizo katika kilele cha siku ya watu wenye ulemavu.


MWANA SPOTI


Kichwa Kikuu:

DIARRA ASHTUA


  • Kiungo wa Simba agusa rekodi za CAF, aendelea kutajwa kwenye namba za kimataifa.
  • Pantev afichua jambo, bosi wa Simba atoa kauli.
  • EPL leo: Arsenal vs Brentford saa 4:30 usiku.


UELEKEO


Kichwa Kikuu:

DK. SAMIA AONYA VURUGU, ASEMA TANZANIA HAIWEZI KUAMRISHWA


  • Rais atoa tahadhari dhidi ya makundi yanayojaribu kuhatarisha amani ya nchi.
  • Wazee wa Dar es Salaam wafunguka walivyofadhaishwa na vurugu za Oktoba 29.
  • Ofisa Magereza akamatwa akidaiwa kuhusika kwenye tukio la mauaji ya mwenzi wake.






















Hakuna maoni: