Breaking

Jumatatu, 15 Desemba 2025

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO



 Karibu msomaji wetu,

tunafurahi kukuleta utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo ili kukusaidia kupanga shughuli zako za kila siku kwa uelewa zaidi wa mabadiliko ya hali ya anga nchini. Endelea kusoma kupata taarifa rasmi kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA).


Kuanzia saa 3:00 usiku wa leo

Tarehe: 15 Desemba 2025



πŸ”Ή Mkoa wa Dar es Salaam



Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache pamoja na vipindi vifupi vya jua.



πŸ”Ή Mikoa ya Lindi na Mtwara



Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache, huku kukiwa na vipindi vya jua.



πŸ”Ή Mkoa wa Pwani (ikiwemo Visiwa vya Mafia)



Hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika maeneo machache pamoja na vipindi vya jua.



πŸ”Ή Mikoa ya Ruvuma na Morogoro



Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo, pamoja na vipindi vya jua.



πŸ”Ή Mikoa ya Katavi, Tabora na Kigoma



Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache na vipindi vya jua.



πŸ”Ή Mikoa ya Rukwa, Songwe, Iringa, Njombe na Mbeya



Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo pamoja na vipindi vya jua.



πŸ”Ή Mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Simiyu, Shinyanga na Mara



Hali ya mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache na vipindi vya jua.



πŸ”Ή Mkoa wa Tanga



Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.



πŸ”Ή Visiwa vya Unguja na Pemba



Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache pamoja na vipindi vya jua.



πŸ”Ή Mikoa ya Singida na Dodoma



Hali ya mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache na vipindi vya jua.



πŸ”Ή Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara



Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.




πŸ“Œ Ushauri: Wananchi wanashauriwa kuchukua tahadhari hasa katika maeneo yanayotarajiwa kupata mvua na ngurumo, hususan kwa shughuli za nje na usafiri.


Endelea kufuatilia blogu yetu kwa taarifa za hali ya hewa na habari nyingine muhimu kila siku.


Hakuna maoni: