Breaking

Jumanne, 16 Desemba 2025

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO

 

Mamlaka ya Hali ya Hewa imetoa angalizo la uwepo wa vipindi vifupi vya mvua kubwa vinavyotarajiwa kujitokeza katika maeneo machache ya baadhi ya mikoa nchini. Wananchi wanashauriwa kuchukua tahadhari stahiki, hususan katika maeneo yenye miinuko, mabonde na maeneo yanayokumbwa mara kwa mara na mafuriko.


Hakuna maoni: