Msanii huyo ambaye ana watoto wanne, aliwahi kufunga ndoa mara moja pekee katika maisha yake. Ripoti zinaeleza kuwa kwa sasa anatajwa kuwa na mpango wa kuingia tena kwenye ndoa, licha ya kuendelea kuficha taarifa za mpenzi wake huyo mpya kwa muda mrefu.
Habari hizi zimezua mjadala mkubwa miongoni mwa mashabiki wa muziki duniani, wengi wakisubiri kuona iwapo Lil Wayne ataamua kuweka wazi zaidi kuhusu mahusiano yake katika siku zijazo.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni