Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Palamagamba Kabudi amesema yeyote anayefanya kazi za kihabari bila kuwa na Kitambulisho cha Uandishi wa Habari (Press Card) kinachotolewa na Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari-JAB anavunja sheria ya Huduma za Habari. Waziri Kabudi ametoa kauli hiyo huku akionesha Press Card yake kwenye ufunguzi wa Mkutano wa Mabaraza ya Habari Afrika leo tarehe 14 Julai, 2025 alipozungumza kabla ya kumkaribisha Mgeni Rasmi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Phillip Mpango jijini Arusha.
Jumanne, 15 Julai 2025
ANAYEFANYA KAZI BILA 'PRESS CARD' ANAVUNJA SHERIA
Tags
# HABARI
About Lilian Madelemo
Lilian Madelemo is a seasoned Tanzanian journalist, radio presenter, and digital media specialist with a vibrant career spanning since 2011. Known for her insightful storytelling and dynamic presence, she has built a strong reputation across both radio and online platforms. She is also the founder of the Madelemo News Blog, where she continues to inform, engage, and inspire through multimedia journalism.
HABARI
Lebo:
HABARI
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni