Breaking

Jumatatu, 4 Agosti 2025

DKT. DOTO BITEKO ASHIRIKI KUPIGA KURA ZA MAONI KATA YA BULANGWA, GEITA





 Mgombea ubunge wa Jimbo la Bukombe, Dkt. Doto Mashaka Biteko ashiriki kupiga kura za maoni kwa nafasi ya Ubunge na Udiwani katika kata ya Bulangwa ambapo Msimamizi wa Uchaguzi ni Ndugu. Paskasi Mlagiri Mjumbe wa kamati ya siasa ya Halmashauri Kuu ya Wilaya ya Bukombe, Agosti 4, 2025, Mkoani Geita.


Hakuna maoni: