Tazama vibes la Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Asharose Migiro akicheza pamoja na kundi la wasanii mbalimbali wa muziki na filamu hapa nchini pamoja na kundi la Samia Queens na wananchi kwa ujumla katika jukwaa la ushindi wa CCM katika uwanja wa Tandare uliopo mji mdogo wa Tukuyu wilayani Rungwe jijini Mbeya.
Dkt. Migiro hana baya bhana , anacheza balaa kiasi kwamba wananchi wa Tukuyu wamempa maua yake, hakika raha kama hizi huwezi kupita sehemu nyingine yoyote zaidi ya kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
#SafariYaCCM
#SafariYaUshindi
#OktobaTunatiki✅
#KaziNaUtuTunasongaMbele






Hakuna maoni:
Chapisha Maoni